Nyumba inauzwa Goba Lastanza, Dar Es Salaam (600 sqm)

video thumbnail
Sh. 420,000,000

Aina

Nyumba

Ukubwa

600 SQM

Huduma na Sifa

Hati

Maelezo

Nyumba mpya hii bado ipo wapendwa..

Ipo Goba LASTANZA. Unaweza ingilia Njia ya Mbezi Beach, au Njia ya Makongo

Eneo lake ni SQM 600
▪︎ Ukiachana na thamani ya nyumba lakini kiwanja chake kipo sehemu potential sana kukua kwa thamani.

Nyumba inafika vizuri sana, barabara ipo fresh..

Bei: TZS 420 Million (Maongezi yapo)

Full Documents: HATI✅️

Twanga simu sasa 0767 891 406// 0785 682 800

#luganoorealestateagency #goba #houseforsale