Tafuta

Nyumba inauzwa Tabata Segerea, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 160,000,000

Huduma na Sifa

Hati
Karibu na Barabara ya Lami

Maelezo

🏑 NYUMBA INAUZWA – TABATA SEGEREA VIWANJA VYA BENKI 🏑

πŸ“ Location: Tabata Segerea – Viwanja vya Benki, Dar es Salaam.
βœ… Nyumba ipo ya pili kutoka barabara ya lami.
βœ… Ipo kwenye neighborhood nzuri sana na tulivu.
βœ… Eneo limejengeka vizuri, hakuna uswahili.
βœ… Inafaa kwa makazi ya familia au uwekezaji.

πŸ“ Ukubwa wa kiwanja: SQM 750
πŸ“„ Hati miliki ya Wizara ya Ardhi ipo.

πŸ’° Bei: Tsh Milioni 160
πŸ—£ Maongezi yapo kidogo kwa mnunuzi serious.

Karibu tajiri tumalize biashara 🀝

πŸ’΅ Service charge / Gharama ya huduma: 50,000/=
πŸ“ž Muhitaji piga: +255688412890