Kiwanja (Commercial Plot) kinauzwa Mlimwa C, Dodoma (4200 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
👉KIWANJA KIZURI SANA KINAUZWA
➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖
👉 "Unatafuta sehemu sahihi ya kuwekeza Dodoma? Hiki hapa kiwanja 👉cha kipekee kilichopo Mlimwa C Mpamaa. Kina
➖➖➖➖➖➖➖➖➖
👉ukubwa wa Square Meter 4,200, ni Kona Plot na kinatazama barabara ya lami moja kwa moja.
➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖
👉Kiwanja kipo kimkakati zaidi—
👉karibu na Chuo cha Mipango, Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Msalato, na Hospitali ya St. Njema. Ni eneo salama lenye fensi na hati safi.
➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖
👉Kiwanja hiki kinafaa kwa Hotel ya kisasa, Apartments, au hata kituo cha mafuta.
➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖
👉Bei ni Milioni 550 tu na maongezi yapo. Kupata fursa hii, piga simu sasa 👉namba 0714 024 420. Wekeza sasa, vuna kesho!"☎️0714024420
@dalali_ngosha_dodoma








