Kiwanja kinauzwa Bunju, Dar Es Salaam sqm 1448

Ukubwa
1448 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
KIWANJA CHENYE HATI,SQM.1448,TZS.160 MILIONI, BUNJU.
Hapa ni Jirani na Mradi wa TBA,
Na HAEMEDA CLINIC.
Kiwanja kizuri cha kwenye Kona.
Pia kuna nyumba ndogo ya Mlinzi.
Umiliki ni HATI ( Title Deed) ya Wizara.
Mtaa unejengeka kwa kasi.
________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
________________zw















