Kiwanja kinauzwa Goba Njia Nne, Dar Es Salaam (1850 sqm)

video thumbnail
Sh. 65,000,000

Aina

Kiwanja

Vyumba

2

Ukubwa

1850 SQM

Huduma na Sifa

Chicken Coops
Mabanda Ya Kuku

Maelezo

KIWANJA SQM.1,850/MABANDA YA KUKU INAUZA BANK,TSHS.65 MILIONI,GOBA NJIA NNE.

Hapa ni GOBA/TEGETA-A.
Unashukia LILIAN KIBO.

Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.

Kuna nyumba ndogo yenye vyumba 2,
Mabanda ya kufugia Kuku na Eneo kubwa linabaki.
Panafaa pia kuweka nyumba za Biashara/Apartments.

WAHI KABLA HUJACHELEWA.

_____________

ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)

Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.

+255 714 591 548

______________jj