Kiwanja kinauzwa Kibada, Dar Es Salaam
Maelezo
Kununua Ardhi sio matumizi ni uwekezaji wa maisha , ni moja ya asset ambayo inapanda thamani kadri mda unavyozidi kwenda bila kuathiriwa na sababu mbalimbali kama vile mfumuko wa bei, anguko la uchumi , machafuko ya kisiasa au majanga ya asili kama vile moto n.k
Ardhi unayonunua leo , miaka mitatu baadae utauza kwa bei ya juu , lakini pia hela uliyotumia kununua ardhi kwaka huu 2026 ikifika mwaka 2046 haitaweza tena kununua ardhi kwasababu ya TIME VALUE OF MONEY
Mwaka 2020 ulikua unapata kiwanja cha shilingi milioni 10 πKIBADA leo hii hata cha milioni 50 hupati , vijana tununue ardhi
MWISHO; mkipata kiwanja cha milioni 10 mnishtue dalali wenu namimi natafuta
βοΈ DALALI MFUPI















