Kiwanja kinauzwa Kigamboni Ferry, Dar Es Salaam acre 400

Ukubwa
400 ACRE
Huduma na Sifa
Maelezo
π’ ENEO BORA LA UWEKEZAJI LINAUZWA β KIGAMBONI FERRY, DAR ES SALAAM
Unatafuta eneo lenye fursa kubwa ya uwekezaji? Hili ndilo chaguo sahihi!
β
Ukubwa: Ekari 400
β
Limepimwa na lina Hati Safi ya Wizara ya Ardhi
β
Lipo Kigamboni Ferry, karibu na Soko Kuu la Samaki la Kaulasa
β
Miundombinu mizuri na eneo linaendelea kukua kwa kasi.
Linafaa kwa:
π’ Apartment za kisasa
π¨ Lodge au Hoteli
β½ Uwanja mkubwa wa michezo
π¬ Miradi mingine ya biashara yenye tija
Ni eneo lenye thamani kubwa na fursa ya kurudisha uwekezaji wako kwa muda mfupi kutokana na maendeleo yanayoendelea katika eneo hilo.
π° Bei: TSh Milioni 160 tu (Mazungumzo yapo)
π Wasiliana nasi leo kwa maelezo zaidi na kupanga kutembelea eneo.
πΌ Service Charge: TSh 30,000
π± Instagram: @dalali_kigamboni_plots_forsale
#creatorsearchinsights #dalalikigamboni #dalalidaressalaam #dalalinyumbaviwanja #realestateapartment Kigamboni















