Tafuta

Kiwanja kinauzwa Kigamboni Kibada, Dar Es Salaam (1200 sqm)

 media -1
media -1
Sh. 190,000,000

Maelezo

🏑πŸ”₯ KIWANJA KINAUZWA – KIGAMBONI KIBADA CRDBπŸ”₯🏑

πŸ’Ž FURSA NZURI YA MAKAZI NA UWEKEZAJI!

πŸ“ Kiwanja cha tatu kutoka barabarani, kipo Kigamboni – KibadaCrdb.

✨ SIFA ZA KIWANJA:
πŸ“ Ukubwa: SQM 1,200
πŸ“„ Kimepimwa na kina Hati ya Wizara
🧱 Kimepigwa fence pande 3
πŸšͺ Upande wa mbele bado, unaweza kufunga geti na kuanza ujenzi
🌿 Eneo zuri sana na lenye nafasi kubwa

πŸ“ UMBALI:
πŸ“Œ Mita chache kutoka Baba Alami
πŸ“Œ Takribani kilomita 3 kutoka barabarani
πŸ“Œ Kilomita 9 kutoka Ferry
πŸ“Œ Kilomita 8 kutoka Kigamboni Darajani

πŸ’° BEI: TZS MILIONI 190
🀝 Mazungumzo kidogo yapo.

πŸ”₯ Kiwanja hiki kinafaa sana kwa kujenga nyumba ya kifahari, apartment au uwekezaji wa muda mrefu.

πŸ“ž
πŸ“Service Charge 30,000

#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio

Dalali Kigamboni mbavu

dalali__kigamboni_mbavu

@dalali__kigamboni_mbavu

View Listings
Dalali Kigamboni mbavu