Kiwanja kinauzwa Kinyerezi, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 220,000,000

Maelezo

ENEO LA NDOTO LINAUZWA – KINYEREZI KIBAGA B!

πŸ“ Ukubwa: 1,400 sqm
πŸ’° Bei: Tsh Milioni 220 (bei poa sana!)
βœ… Tambarare kabisa | Hati tayari | Lipo ndani ya fence
βœ… Umeme, Maji ya DAWASCO, barabara nzuri – huduma zote zipo
βœ… Majirani wamejenga nyumba za kifahari, eneo safi na tulivu
βœ… Linafikika kwa gari lolote, lango la mlango

🏑 Pafaa kabisa kwa:
- Nyumba yako ya ndoto (dream house)
- Uwekezaji wa uhakika (bei inakwea haraka!)

Fursa haitadumu!
Piga sasa: πŸ“ž 0688 412 890

dalaliwakishua
β€œMiliki Kesho Yako Leo!” ✨