Kiwanja kinauzwa Kinyerezi Mwisho, Dar Es Salaam (500 sqm)
Huduma na Sifa
Maelezo
π‘ KIWANJA KINAUZWA β KINYEREZI MWISHO, DAR ES SALAAM πΉπΏ
π° Bei: TSh Milioni 46 Tu!
Unatafuta eneo bora la kujenga Dream House yako au kufanya uwekezaji wenye faida? Hiki ndicho kiwanja unachokitafuta!
π Kipo Kinyerezi Mwisho, takribani kilomita 1 kutoka stendi.
β
Barabara nzuri, panafikika kwa urahisi wakati wote.
β
Kipo katika neighbourhood ya kishua, yenye nyumba nyingi za kisasa na mazingira tulivu.
β
Kiwanja ni tambarare na kina fensi pande tatu, hivyo utapunguza gharama za maandalizi ya ujenzi.
π Ukubwa: SQM 500 (20 Γ 25)
Kinafaa kwa:
βοΈ Ujenzi wa Dream House ya kisasa.
βοΈ Villa ya kifahari.
βοΈ Uwekezaji wa muda mrefu katika eneo linalokua kwa kasi.
πΌ Service Charge: TSh 30,000/=
π Wasiliana nasi: +255 688 412 890
π₯ Usikose fursa hii! Hiki ni kito ambacho hakitadumu sokoni kwa muda mrefu.
Karibu ndugu mteja tufanye biashara. Miliki Kesho Yako Leo!!!















