Kiwanja kinauzwa Kisota Ushuwani, Kigamboni, Dar Es Salaam (750 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
๐ก KIWANJA KINAUZWA โ KIGAMBONI, KISOTA USHUWANI ๐ก
Unatafuta kiwanja katika eneo la kifahari lenye mazingira tulivu na salama? Hiki ni chaguo sahihi kwa makazi au uwekezaji.
๐ Mahali: Kisota Ushuwani, Kigamboni
Sifa za Kiwanja:
โ
Ukubwa: SQM 750
โ
Kimezungushiwa fensi pande zote
โ
Kina geti tayari
โ
Kimepimwa rasmi
โ
Hati ya Wizara
โ
Mita 500 kutoka barabara kuu
โ
Kilomita 4 kutoka Feri
โ
Kilomita 6 kutoka Kigamboni Darajani
โ
Mazingira mazuri, tulivu na salama
โ
Neighborhood ya kishua yenye nyumba za kisasa na wakazi wa hadhi
๐ฐ Bei: TZS Milioni 165 TSH
๐ค Mazungumzo kidogo yapo kwa mnunuzi makini.
Hii ni fursa nzuri ya kuwekeza au kujenga nyumba ya ndoto zako katika moja ya maeneo yanayokua kwa kasi Kigamboni.
๐0769554221
๐Service Charge 30,000
#trendingvideo #istagram #realestateagent #realestateinvestment #tanzania















