Kiwanja kinauzwa Mapinga Kimere, Pwani sqm 1050

Ukubwa
1050 SQM
Barabara ya Karibu
3km
Huduma na Sifa
Maelezo
π‘ KIWANJA CHA MAKAZI KINAUZWA β MAPINGA KIMERE
π Eneo: Mtaa wa Kimere, Mapinga
Unatafuta kiwanja kwa ajili ya makazi au uwekezaji? Hii ni fursa nzuri kwako!
π Ukubwa: Meta za mraba 1,050 (1,050 sqm)
π° Bei: TSh Milioni 35 (Inajadiliwa)
β
Takribani Km 5 kutoka Bunju
β
Takribani Km 3 kutoka Barabara Kuu ya Bagamoyo
β
Miundombinu ya barabara ipo vizuri
β
Maji na umeme vinapatikana karibu na eneo la viwanja
β
Eneo linafaa kwa makazi na uwekezaji wa muda mrefu
π Kwa maelezo zaidi au kupanga kutembelea eneo, wasiliana na:
Latifa Mbonde
Real Estate Consultant
π± 0715 919 296
Karibu sana! Ukipata ujumbe huu, tafadhali uwashirikishe ndugu, jamaa na marafiki wanaotafuta kiwanja katika eneo la Mapinga Kimere.
#viralreelschallenge2025viralreelschallengejaiviralreelschallengeviralreelschallengechallenge #viral #realestateinvestment #everyone #trending















