Tafuta

Kiwanja kinauzwa Tabata Bonyokwa, Dar Es Salaam (400 sqm)

video thumbnail
Sh. 38,000,000

Maelezo

🏡 KIWANJA KINAUZWA – TABATA BONYOKWA STAND

Unatafuta kiwanja kizuri kwa makazi au uwekezaji? Hiki ni fursa nzuri kwako!

📍 Location: Tabata Bonyokwa Stand, takribani dakika 5 kutoka stendi hadi kwenye kiwanja

Kipo jirani na Secondary ya Bonyokwa

✅ Ukubwa: SQM 400
✅ Kinafaa kwa ujenzi wa nyumba ya makazi binafsi
✅ Pia kinafaa kwa ujenzi wa apartments (nyumba za biashara)
✅ Eneo ni zuri, limeendelea na linaendelea kukua kwa kasi
✅ Barabara imewekewa zege na inafikika kirahisi hata kipindi cha mvua

💰 Bei: TSh Milioni 38 (Fixed)
📄 Nyaraka: Sales Agreement

Usikose nafasi hii ya kuwekeza katika eneo lenye maendeleo na mahitaji makubwa ya makazi.

📞 Wasiliana: +255 (0) 654 101 710 / +255 (0) 787 205 300
💰 Service Charge: TSh 30,000/=

Karibu ndugu mteja, tufanye biashara.
Dalali Amani Kimara– Miliki Kesho Yako Leo!!!