Kiwanja kinauzwa Tabata Kinyerezi Kibaga B, Dar Es Salaam (350 sqm)
Aina
Kiwanja
Ukubwa
350 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
🏡✨ KIWANJA KIZURI KINAUZWA TABATA KINYEREZI KIBAGA B 🇹🇿 ✨🏡
Unatafuta sehemu nzuri ya kujenga makazi yako au kufanya uwekezaji wa apartments? Hiki hapa! 👇
📍 TABATA KINYEREZI KIBAGA B
📐 Sqm 350
✅kiwanja kina fully Documented (HATI MILIKI)
✅Njoo ufunje ujenge Apartments kali
✅Tambarare kabisa
✅Huduma za kijamii zipo Kama umeme,shule,masoko,
✅Neighborhood nzuri sana
💰 BEI NI 17 million Tu
Fursa nzuri kwa makazi au uwekezaji wa uhakika! 🔥
📞 Muhitaji piga:
#Tabata #KiwanjaKinauzwa #DarEsSalaam #RealEstateTanzania dalaliMarikikinyereziApartments Uwekezaji Kiwanja TabataKinyerezi Nyumba LandForSale TanzaniaRealEstat















