Kiwanja kinauzwa Tabata Sanene, Dar Es Salaam sqm 500
Ukubwa
500 SQM
Barabara ya Karibu
1km
Maelezo
π‘ KIWANJA KINAUZWA β TABATA SANENE π‘
Unatafuta eneo zuri la uwekezaji? Hiki ndicho chaguo sahihi!
π Eneo: Tabata Sanene
π Ukubwa: Sqm 500
π£οΈ Umbali: Takribani kilomita 1 kutoka kituoni, gari linafika hadi kwenye kiwanja bila shida.
π° Bei: TSh 18,000,000 (Fixed)
π Umiliki: Sales Agreement
β
Kinafaa kwa ujenzi wa:
* Apartments
* Nyumba za biashara
* Vyumba vya kupanga (master, master na sebule, au master sebule na jiko) kwa ajili ya mapato ya kodi.
Usikose fursa hii ya kuwekeza katika eneo linalokua kwa kasi.
π Wahi sasa, wasiliana nasi!
π΅ Service Charge: TSh 30,000
Dalali Wakishua
Miliki Kesho Yako Leo!!!















