Kiwanja kinauzwa Tabata Segerea, Dar Es Salaam (500 sqm)

video thumbnail
Sh. 38,000,000

Aina

Kiwanja

Ukubwa

500 SQM

Huduma na Sifa

Karibu na Stendi ya Mabasi
Karibu na Stendi ya Mabasi
Barabara_imechongwa_vizuri_na_ina_zege
Gari_linafika_hadi_kwenye_kiwanja_bila_changamoto
Hata_magari_ya_chini

Maelezo

🏡 KIWANJA KINAUZWA – TABATA SEGEREA

Kiwanja kizuri kinauzwa kikiwa na ukubwa wa sqm 500, kipo eneo zuri na linalokua kwa kasi.

📍 Umbali:
• Kilometa 1 kutoka Stendi ya Segerea Mwisho
• Dakika 10 kwa mguu
• Bodaboda ni elfu 1 tu

🚗 Upatikanaji:
Barabara imechongwa vizuri na ina zege — gari linafika hadi kwenye kiwanja bila changamoto (hata magari ya chini).

🏢 Matumizi:
✔️ Makazi binafsi
✔️ Apartments za kupangisha (fursa ya kipato)

💰 Bei: Milioni 38 (mazungumzo kidogo yapo)

📞 0688412890 Karibu sana uje kuona eneo, tukamilishe biashara.
👀 Service charge: 30,000/=