Mashamba yanauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Kigamboni, Kigamboni, Dar Es Salaam
5 months ago
Sh. 50,000
Maelezo
SHAMBA EKARI 8, TSHS.150 MILIONI,LUGWADU-KIGAMBONI.
Hapa ni umbali wa kilomita 5 tu kutoka
KITUO CHA MAFUTA Pale,
MWEMBE MTENGU-KIGAMBONI.
Hili eneo linafaa kuwekeza Shughuli za Uzalishaji,
Au-tena KWA WANAO-ONA MBALI,
KUWEKA MRADI WA KUKATA/KUGAWANYA VIWANJA.
Anatakiwa mnunuzi wa eneo lote kama lilivyo.
_____________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
____________rjKs
