Nyumba inapangishwa Ubungo, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
media -2
media -3
Sh. 250,000 per month

Aina

Nyumba

Maelezo

#Repost dalali_mkuu_ubungo_tabata
——
NYUMBA YA KUPANGA- #UBUNGO_RIVERSIDE_KIBANGU 250,000 KWA MWEZI KODI MIEZI 6

###

📌CHUMBA MASTER
📌SEBULE KUBWA

Tsh. 250,000/=

Usafiri bajaj 500 kutokea ubungo riverside ukishuka unapiga teke mlango

Ni nyumba ya Kisasa ina Sebule na jiko Chumba cha kulala na choo ndani

Full Tilles,Gypsum & Aluminum slide window.

LUKU wawili na Maji yapo nje

Nyumba ipo ndani ya fensi Parking ipo kubwa sana

Kodi 250,000/= Kwa mwezi malipo miezi 6 na malipo ya mwezi mmoja wa dalali

Service_Charge_20,000/= ya kuonyeshwa na kutafutiwa Nyumba mpaka upate bila kuchajiwa tena ukirudi.

CONTACT
0712500602
0755336565