Nyumba inauzwa Mbagala, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 65,000,000

Aina

Nyumba

Maelezo

NYUMBA KALLI SANA INA UZWA BEI NZURI SANA TSH MIL 65 TU
HII NI MBAGALA CHAMAZ DOVYA JIJI LA DAR ES SALAM WILAYA YA TEMEKE KATA YA CHAMAZI MTAA WA DOVYA

INA VYUMBA VNNE VYA KULALA KIMOJA NI MASTER BDROOM INA SITTING ROOM INA DAINING ROOM NA JIKO PAMOJA NA PUBLIC TOILET INA MAJI NA UMEME UPO WA RUKU

ENEO SQUARE MITER โฌ›๏ธ
450
INA DOCUMENTS ZOTE ALALI ZA OFFICE YA ๐Ÿฌ SERIKALI YA MTAA

KUTOKA BARA BARA KUU YA LAMI KUJA KWENYE HII NYUMBA NI DAKIKA 5 TU
KWA MAELEKEZO ZAIDI NIPIGIE CM AU NICHEKI WHATSAPP

0759 203175 0652 618 143 ๐Ÿ“ž