Tafuta

Nyumba inauzwa Mbezi Luis, Dar Es Salaam

Sh. 80,000,000

Maelezo

πŸ“ž 0792945779

πŸ’°πŸ’΅ Bei: Milioni 80 Tu (80,000,000/=)!

πŸ›‘ WAHI KABLA HAIJACHUKULIWA: FURSA YA DHAHABU MBEZI LUIS!

Acha kuchelewa kufanya maamuzi ya uwekezaji! Hii hapa ofa ya kishua ya kumiliki eneo kubwa lenye mjengo uliokamilika na hati safi kabisa.

Eneo kama hili Mbezi Luis, lenye hati tayari kwa uhamisho, halikaagi sokoni hata wiki moja. Changamkia dili hili la msimu sasa hivi kabla mwekezaji mwingine hajakuwahi! πŸ”₯

πŸ—οΈ SIFA ZA MRADI NA ENEO:

πŸ“ Site Location: Mbezi Luis (Eneo la kishua, lililopangwa na lenye huduma zote za kijamii).

πŸ“ Ukubwa wa Kiwanja: SQM 800 (Eneo pana sana lenye nafasi kubwa ya yard na maegesho ya kutosha).

πŸ“‘ Hati Miliki: Hati Safi (Tayari kwa Uhamisho - Hakuna mambo ya kusubiri wala usumbufu wa kisheria!).

🏑 Hali ya Mjengo: Tayari kwa Uhamisho (Unanunua na kuingia au kuanza kuingiza faida mara moja!).

πŸ’° BEI NA GHARAMA ZA SITE:
πŸ’΅ Bei: Milioni 80 Tu (80,000,000/=)!

πŸš— Gharama ya Kuona Site (Service Charge): Tsh 30,000/=

⚠️ USILALE: Kupata eneo la SQM 800 lenye Hati Safi Mbezi Luis kwa Milioni 80 ni bahati adimu sana mjini!

Ukichelewa leo kuweka miadi ya kuona site, kesho unakuta kimeshachukuliwa! ⏳

πŸ“ž PIGA SIMU SASA HIVI UWEKE MIADI: 0792945779 (bunab_properties).

Matangazo mengine Mbezi, Dar Es Salaam

Nyumba ya vyumba viwili inauzwa Mbezi Maramba, Dar Es Salaam (300 sqm)

Sh. 38,000,000

For Sale2 beds2 baths300 sqmhouse
Nyumba ya vyumba 8 inauzwa Mbezi Beach, Dar Es Salaam

Sh. 1,800,000,000

For Sale8 beds2,500 sqm
Nyumba inauzwa Mbezi Beach, Dar Es Salaam (2200 sqm)

Sh. 1,700,000,000

For Sale2,200 sqmhouse
Nyumba inauzwa Mbezi Beach, Dar Es Salaam (900 sqm)

Sh. 900,000,000

For Sale900 sqmhouse