Tafuta

Nyumba na Apartments zinazouzwa Kifuru, Dar Es Salaam

Sh. 150,000,000

Maelezo

šŸ” APARTMENTS MPYA ZINAUZWA – KIFURU! šŸ”

Je, unatafuta uwekezaji wenye kipato cha uhakika? Hii ndiyo fursa yako!

šŸ“ Eneo: Kifuru – Dakika 5 tu kutoka kituoni, barabara inafikika kwa urahisi.

✨ Maelezo ya Nyumba:
āœ… Jumla ya nyumba 5

šŸ  Nyumba 4 zina:

* Chumba 1 (Master)
* Sebule
* Jiko
* Kodi: TSh 250,000 kwa mwezi kila nyumba
* Zote zimepangishwa

šŸ  Nyumba 1 ina:

* Vyumba 3 (Kimoja Master)
* Sebule
* Jiko
* Choo cha Public
* Kodi: TSh 400,000 kwa mwezi
* Tayari imepangishwa

šŸ’§ Maji yapo
⚔ Umeme upo
šŸš— Parking ya kutosha

šŸ’° Bei: TSh 150,000,000
šŸ¤ Malipo kwa awamu yanakubalika.

Hii ni fursa adhimu kwa mwekezaji. Unaweza kuishi kwenye nyumba kubwa ya vyumba vitatu pamoja na familia yako huku nyumba nyingine nne zikiendelea kukuingizia mapato ya kodi kila mwezi.

šŸ“ž Service Charge: TSh 30,000/=

Karibu uwekeze leo – miliki mali yenye kukuletea kipato cha kudumu!

Dalali Tabata

dalaliwakishua

@dalaliwakishua

View Listings

Matangazo mengine Kinyerzi Kifuru, Dar Es Salaam