Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Africana, Dar Es Salaam
Mbezi Beach Africana, Dar Es Salaam
19 hours ago
Sh. 350,000/month
Huduma na Sifa
Maelezo
Nyumba hii ni
Chumba sebule choo jiko tuuπ€
Luku ya pekeyako
Maji mita yako pekeyako
Kodi sh laki 350 //ππππ
Ilipo njia ya mbezi bichi kituo ni afrcana
Umbali ni dakika 5 kutoka sitendi ya daladala
Mwenye nyumba hakai hapo π
Mazingira utulivu sana sana
#0716623170












