Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Bunju, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 130,000 per month

Aina

Nyumba

Vyumba

1

Bafu

1

Huduma na Sifa

Luku ya Ku-share
Mita ya Maji ya Ku-share
Sebule
Jiko
Mpya
Karibu na Barabara

Maelezo

🌟 CHUMBA MASTER, SEBULE & JIKO 🌟

📍 Location: Bunju – Karibu na Main Road
💰 Kodi: TZS 130,000/= kwa mwezi

🏠 Muundo wa Nyumba:
• 🛏️ Chumba 1 (Master)
• 🛋️ Sebule
• 🍽️ Jiko
• ⚡ Umeme wa kushare
• 🚿 Maji ya kushare

🆕 NB: Nyumba mpya. Tajiri nguvu imekata, ukilipia unarekebishiwa mambo madogo yaliyobakia.

📞 Mawasiliano (Simu/WhatsApp):
📲 0687 800 788
📲 0713 958 395