Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Chidachi Mission, Dodoma

Huduma na Sifa
Maelezo
MASTER SEBULE NA JIKO KALI VINAPANGISHWA
π Mahali: Chidachi Mission Executioios, jirani na SGR Station.
π° Kodi: TSh 200,000 kwa mwezi.
Huduma:
β
Umeme na maji vinajitegemea.
β
Maji yanapatikana muda wote.
β
Umbali wa boda kutoka lami ni TSh 1,500 tu.
π Mawasiliano: 0787 037 986
Karibuni Bupalu Real Estate β Tunakusaidia kupata nyumba bora kwa urahisi.















