Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Goba, Dar Es Salaam
Goba, Dar Es Salaam
2 hours ago
Sh. 220,000/month
Maelezo
🏠 KWA KODI: CHUMBA, SEBULE, JIKO NA CHOO
Kodi: Tsh 220,000/= kwa mwezi 3
📍 Hembu - Sikiliza haya maelezo!
Faida za nyumba:
✅ Ipo ndani ya Fensi - Usalama wa kutosha
✅ Sakafu za tiles za kisasa
✅ Jiko limekamilika + Makabati
✅ Maji na Umeme vipo
✅ Mazingira tulivu na saf
WhatsApp















