Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Kibada, Dar Es Salaam

Maelezo
π β¨ NYUMBA INAPANGISHWA β KIBADA, KIGAMBONI β¨
π Location: Kibada, Kigamboni
β
Chumba 1 kikubwa
β
Sebule yenye nafasi ya kutosha
β
Jiko la kisasa
β
Choo na Bafu
β
Maji yanapatikana
β
Umeme wa uhakika
β
Mazingira salama na tulivu
β
Miundombinu rafiki na usafiri unapatikana kwa urahisi
π° Kodi: TSh 400,000 kwa mwezi
π Call & WhatsApp: +225746407197
Service charge:30000 mpaka site















