Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA ZINAPANGISHWA
Kigamboni darajani 📍
✅️ Chumba master na sebule
✅️ Ndani ya fence
✅️ Umeme & maji 15
✅️ Karibu na barabara
✅️ Nyumba kalii
👉 Bei 200k kodi kuanzia miezi 4
👉 Zingatia service charge 20k ukilipia nyumba dalali mwezi 1
Welcome kigamboni
#nyererebridge🇹🇿 #kigamboninyumbakali #kigambonifinest #kigamboni🇹🇿 #fyppppppppppppppppppppppp















