Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Kimara Bucha, Dar Es Salaam







Aina
Nyumba
Vyumba
1
Awali
Inaruhusiwa
Huduma na Sifa
Maelezo
๐น๐ฟ MASTER BED ROOM NZURI SANA โ KIMARA BUCHA
๐ Eneo: Kimara Bucha
๐ Umbali: Km 1 kutoka stendi ya mwendo kasi. Usafiri wa bodaboda Tsh 1,000 tu, au dakika 15 kwa miguu. Pia unaweza kupita kupitia Kimara Korogwe.
๐ SIFA ZA NYUMBA:
๐น Chumba kimoja (Master Bedroom)
๐น Umeme & (Submeter yake binafsi)
๐น Maji yanapatikana ndani masaa 24/7
๐น Fenced & Parking kubwa sana.
GHARAMA:
๐ธ Kodi: Tsh 100,000 ร 6 (Miezi sita)
Dalali mzoefu mwezi mmoja ulipiapo nyumba sevchage 20,000 kuona nyumba
Mawasiliano 0656623510
Wsp 0752436347















