Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
media -6
Sh. 130,000 per month

Aina

Nyumba

Vyumba

1

Maelezo

MASTER BEDROOM NZURI INAPANGISHWA โ€“ KIMARA BUCHA

๐Ÿ“ Mahali: Kimara Bucha
๐Ÿ•— Umbali: Takribani 1 km kutoka stand ya Mwendo Kasi.
๐Ÿšถ Kwa mguu dakika 15 tu, na kwa bodaboda Tsh 1000 mpaka getini.

๐Ÿ  SIFA ZA NYUMBA
Chumba kimoja Master Bedroom.
Umeme wa LUKU (Submeter binafsi imefungwa).

Maji safi yanapatikana masaa 24/7.
Fensi & Parking kubwa na salama.
๐Ÿ‘‰ Chumba kitakuwa wazi tarehe 29/03/2026 kuona ndani na kufanya luksa kabisa kwa uhuru. Booking inaruhusiwa.

GHARAMA
Kodi: Tsh 130,000 ร— miezi 6
Malipo ya Dalali: Tsh 130,000
Service Charge: Tsh 20,000
๐Ÿ“ž Piga Simu:

๐Ÿ’ฌ WhatsApp inapatikana
๐Ÿ™ Please Follow Us
๐Ÿค Karibu sana mteja halisi ๐Ÿ˜Š

CALL 0659244543