Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Kimara Korogwe, Dar Es Salaam









Huduma na Sifa
Maelezo
๐น๐ฟ MASTER BED ROOM NZURI YA KISASA โ INAPANGISHWA KIMARA KOROGWE.
๐ Eneo: korogwe.
๐ Umbali wa dakika 10 kwa kutoka stand ya mwendo kasi usafili bodaboda 1000 tu.
๐ SIFA ZA NYUMBA:
๐น Chumba kimoja (Master Bedroom) kikubwa
๐น Umeme &(Submeter yake binafsi)
๐น Maji yanapatikana ndani masaa 24/7hrs
๐น Fensi & Parking hamna.
๐นMazingira sana tulivu na usalama wa uwakika hakuna uswahili.
๐Nyumba hii ipo wazi kabisa kuhamia muda wowote.
GHARAMA:
๐ธ Kodi: Tsh 150,000 ร 6 (Miezi sita)
Dalali mzoefu mwezi mmoja ulipiapo nyumba sevchage 20,000 kuona nyumba
Mawasiliano 0656623510
WSP 0752436347















