Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Kimara Korogwe, Dar Es Salaam







Kimara, Ubungo, Dar Es Salaam
8 days ago
Sh. 150,000
Aina
Nyumba
Vyumba
1
Barabara ya Karibu
1km
Awali
Inaruhusiwa
Huduma na Sifa
Umeme
Luku Inajitegemea
Maji
Mita ya Maji Inajitegemea
Parking Space
Karibu na Stendi ya Mabasi
Maelezo
๐น๐ฟ MASTER BED ROOM MPYA YA KISASA โ INAPANGISHWA KIMARA KOROGWE
๐ Eneo: Kimara korogwe
๐ Umbali: Km 1 kutoka stendi ya mwendo kasi. Usafiri wa bodaboda Tsh 1,000 tu, au dakika 15 kwa miguu.
๐ SIFA ZA NYUMBA:
๐น Chumba kimoja (Master Bedroom) kikubwa sana
๐น Jiko zuri na la kisasa
๐น Umeme & Maji (Submeter yake binafsi)
๐น Maji yanapatikana masaa 24/7
๐น Fensi hamna & Parking kubwa na salama
GHARAMA:
๐ธ Kodi: Tsh 150,000 ร 6 (Miezi sita)
๐ธ Malipo ya dalali: Tsh 150,000
๐ธ Service charge: Tsh 20,000
๐ #Piga_simu๐
#please #Follow_us ๐
Karibu Sana Mteja! ๐
Call
0684561351
