Tafuta
-
-

Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Kimara Korogwe, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
media -6
Sh. 150,000

Aina

Nyumba

Vyumba

1

Barabara ya Karibu

1km

Awali

Inaruhusiwa

Huduma na Sifa

Umeme
Luku Inajitegemea
Maji
Mita ya Maji Inajitegemea
Parking Space
Karibu na Stendi ya Mabasi

Maelezo

๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ MASTER BED ROOM MPYA YA KISASA โ€“ INAPANGISHWA KIMARA KOROGWE

๐Ÿ“ Eneo: Kimara korogwe
๐Ÿ•’ Umbali: Km 1 kutoka stendi ya mwendo kasi. Usafiri wa bodaboda Tsh 1,000 tu, au dakika 15 kwa miguu.

๐Ÿ  SIFA ZA NYUMBA:
๐Ÿ”น Chumba kimoja (Master Bedroom) kikubwa sana
๐Ÿ”น Jiko zuri na la kisasa
๐Ÿ”น Umeme & Maji (Submeter yake binafsi)
๐Ÿ”น Maji yanapatikana masaa 24/7
๐Ÿ”น Fensi hamna & Parking kubwa na salama

GHARAMA:
๐Ÿ”ธ Kodi: Tsh 150,000 ร— 6 (Miezi sita)
๐Ÿ”ธ Malipo ya dalali: Tsh 150,000
๐Ÿ”ธ Service charge: Tsh 20,000

๐Ÿ“ž #Piga_simu๐Ÿ‘‡

#please #Follow_us ๐Ÿ™
Karibu Sana Mteja! ๐Ÿ˜Š

Call
0684561351