Tafuta

Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Kimara Korogwe, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
media -6
media -7
media -8
Sh. 150,000/month

Maelezo

๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ MASTER BED ROOM NZURI YA KISASA โ€“ INAPANGISHWA KIMARA KOROGWE.

๐Ÿ“ Eneo: korogwe.
๐Ÿ•’ Umbali wa dakika 10 kwa kutoka stand ya mwendo kasi usafili bodaboda 1000 tu.

๐Ÿ  SIFA ZA NYUMBA:
๐Ÿ”น Chumba kimoja (Master Bedroom) kikubwa
๐Ÿ”น Umeme &(Submeter yake binafsi)
๐Ÿ”น Maji yanapatikana ndani masaa 24/7hrs
๐Ÿ”น Fensi & Parking hamna.
๐Ÿ”นMazingira sana tulivu na usalama wa uwakika hakuna uswahili.
๐Ÿ‘‰Nyumba hii ipo wazi kabisa kuhamia muda wowote.

GHARAMA:
๐Ÿ”ธ Kodi: Tsh 150,000 ร— 6 (Miezi sita)

Dalali mzoefu mwezi mmoja ulipiapo nyumba sevchage 20,000 kuona nyumba

Mawasiliano 0656623510

WSP 0752436347

Matangazo mengine Kimara, Dar Es Salaam

Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Kimara Suka, Dar Es Salaam

Sh. 300,000/month

For Rent2 beds1 bathhouse
Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Kimara Suka, Dar Es Salaam

Sh. 300,000/month

For Rent2 beds1 bathhouse
Nyumba ya vyumba vinne inapangishwa Kimara Mwisho, Dar Es Salaam

Sh. 700,000/month

For Rent4 beds2 bathshouse