Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Kimara Suka, Dar Es Salaam









Aina
Nyumba
Vyumba
1
Barabara ya Karibu
2.5km
Awali
Inaruhusiwa
Huduma na Sifa
Maelezo
CHUMBA MASTER NA JIKO NZURI SANA NA SAFI INAPANGISHWA KIMARA - SUKA
๐ Kimara suka .
๐ 2.5km umbali kutoka stand ya mwendo kasi, usafili bajaji 1000/bodaboda 1500 zipo muda wote.
#SIFA YA CHUMBA
&! Chumba kimoja (Master kubwa yenye feni na jiko) kubwa sana
&! Umeme & Maji (vinajitegemea )
&! Maji yanapatikana
&! Masaa 24 pia yana flow
ndani
&!Ipo ndan ya Fensi
&! Parking kubwa
Yenye nafasi
TAARIFA MUHIMU: Kodi ni Tsh 170,000/= kwa MWEZI, na malipo yanaanzia miezi 6 tu.
GHARAMA
ยฃ! Kodi Tsh 170,000/= ร (Miezi sita)
ยฃ! Malipo ya Dalali Tsh 170,000/=
ยฃ! Service Charge Tsh 20,000/=
simu
au















