Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Kinyerezi G7, Dar Es Salaam









Huduma na Sifa
Maelezo
kinyerezi G7 dk 5 kwa miguu
chumba sebule jiko lenye makabati na choo
ipo ndani ya fensi Mazingira mazuri sana
inajitegemea umeme na maji yanaflow ndani
kodi 300K X6
maji moto maji baridi
survey charge 30,000 itadumu mpaka upate bila kuchajiwa tena
ukipenda nyumba utalipa mwezi mmoja kwa dalali pindi unapolipia nyumba
kwa mawasiliano piga simu 0659336751 wsp 0786085637















