Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Mbagala Mbande Kisewe, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
Chumba single master bedroom kinapangishwa bei elfu 90 kwa mwezi kodi kuanzia miezi 3 nakuendelea. Nyumba IPO mbagala mbande kisewe location ungindoni, unajitegemea umeme luku yk pamoja na maji pia mita yk na jiko lipo la ndani kwa ndani. Umbali wake kutoka kwenye kituo cha daladala hadi kwenye nyumba ni kama mwendo wa dakika moja ivi kwa kutembea kwa miguu. Kwa mawasiliano zaidi pga namba 0688559385 au pga namba 071925 0426.















