Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Mbezi Beach Jogoo, Dar Es Salaam
Mbezi, Dar Es Salaam
1 hour ago
Sh. 250,000/month
Huduma na Sifa
Maelezo
Chumba sebre choo ndani na jiko ipo mbezi beach jogoo kutoka barabaran mpk kwenye nyumba dakaki 5 kodi kwa mwezi ni shiling 250000/= kwa mwezi kwa maerezo zaid piga cm 0715 382076















