Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Mbezi Kwa Yusuph, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 200,000 per month

Aina

Nyumba

Vyumba

1

Bafu

1

Huduma na Sifa

Maji
Uzio
Parking Space
Sebule
Jiko
Luku ya Ku-share

Maelezo

NYUMBA INAPANGISHWA MBEZI KWA YUSUPH

CHUMBA SEBULE CHOO NA JIKO

200,000= ×4

• Umeme wawili
• Maji yanaflow chooni
• Fence na parking ya uhakika

#Umbali dakika 10 Kwa mguu toka kituoni

survey charge 30,000 itadumu mpaka upate bila kuchajiwa tena

ukipenda nyumba utalipa mwezi mmoja kwa dalali pindi unapolipia nyumba

O677370515 WHATSAPP O688991244 NORMAL CALL