Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Mbezi Kwa Yusuph, Dar Es Salaam

Mbezi, Ubungo, Dar Es Salaam
18 days ago
Sh. 200,000 per month
Aina
Nyumba
Vyumba
1
Bafu
1
Huduma na Sifa
Maji
Uzio
Parking Space
Sebule
Jiko
Luku ya Ku-share
Maelezo
NYUMBA INAPANGISHWA MBEZI KWA YUSUPH
CHUMBA SEBULE CHOO NA JIKO
200,000= ×4
• Umeme wawili
• Maji yanaflow chooni
• Fence na parking ya uhakika
#Umbali dakika 10 Kwa mguu toka kituoni
survey charge 30,000 itadumu mpaka upate bila kuchajiwa tena
ukipenda nyumba utalipa mwezi mmoja kwa dalali pindi unapolipia nyumba
O677370515 WHATSAPP O688991244 NORMAL CALL
