Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Sinza Kwa Remi, Dar Es Salaam

Aina
Nyumba
Vyumba
1
Huduma na Sifa
Maelezo
MASTA+JIKO,TSHS.300,000/MWEZI,SINZA KWA-REMI. Ina Parking. Jirani na Kituo cha daladala. LUKU inajitegemea. _____________ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni Kodi ya Mwezi mmoja. Kuona ni Tshs.20,000. (Unalipa wewe MNUNUZI) Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu. +255 714 591 548 _____________mdm















