Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Tabata Segerea, Dar Es Salaam
Huduma na Sifa
Maelezo
š CHUMBA MASTER + SEBULE INAPANGISHWA TABATA SEGEREA š
š Location: Tabata Segerea
š° Kodi: TSh 150,000 kwa mwezi
šļø Master Bedroom
šļø Sebule
⨠Nyumba ipo kwenye mazingira mazuri na eneo linalofikika kwa urahisi.
Unatafuta nyumba yenye master bedroom na sebule kwa bei nafuu? Hii ni nafasi nzuri kwako. Nyumba inapatikana Tabata Segerea na ipo tayari kwa mpangaji.
š„ Usichelewe, nafasi ni chache!
š Tabata Segerea ā Master + Sebule, TSh 150,000 tu kwa mwezi.















