Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Ubungo Msewe, Dar Es Salaam
Ubungo, Dar Es Salaam
1 hour ago
Sh. 200,000/month
Huduma na Sifa
Maelezo
#Inapangishwa UBUNGO MSEWE
📍 Kodi ni 200,000/= *3 (miezi hata mitatu)
📍 Dalali 200,000/=
📍 Kupelekwa kuona 30,000/=
_____
_
#Umeme_BURE
#Maji_BURE
• Chumba kimoja Kikubwa
* Ndani ya Fensi
* Maji Ndani
Tb















