Nyumba ya vyumba 12 inauzwa Tegeta Basihaya, Dar Es Salaam (500 sqm)


Tegeta, Dar es Salaam
8 days ago
Sh. 100,000,000
Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA YA GOROFA INAUZWA - BASIHAYA TEGETA DSM 🔥 BEI YA KUTUPA
BEI: TZS Milioni 100 TU Mmiliki ana shida ya haraka
MAELEZO YA NYUMBA:
✅ Vyumba 12 Vyumba vyote ni Master
✅ Ukubwa wa Kiwanja: 500 SQM
✅ Eneo: Tegeta Basihaya - Eneo nzuri na la kimkakati
Mmiliki anauza kwa hasara
📞 Call or Whatsapp















