Nyumba ya vyumba 20 inauzwa Ukonga Mombasa/Mazizini, Dar Es Salaam (1300 sqm)


Aina
Nyumba
Vyumba
20
Ukubwa
1300 SQM
Barabara ya Karibu
400m
Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA SABA(7) KTK KIWANJA KIMOJA,TZS.60 MILION, UKONGA MOMBASA/MAZIZINI.
ZINAUZWA NA BANK.
Zipo umbali wa mita 400 kutoka Barabara ya LAMI.
Kiwanja SQM 1,300
Zina JUMLA ya vyumba 20.
Na vyote vina Wapangaji kwa sasa.
Hapa unaweza kuborwahq na kuwa na chanzo cha Pesa kisicho na usumbufu.
________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
_________________jj/mpg















