Nyumba ya vyumba 6 inapangishwa Tabata Kimanga, Dar Es Salaam

Maelezo
NYUMBA YENYE VYUMBA 6,TSHS.120 TABATA KIMANGA.
Nyumba nzuri yenye pande 2.
Kila upande una jumla ya Vyumba vya kulala 3,
Ambapo kimoja ni Masta.
Pia kuna Sebule Sebule,Jiko,
Dining-room, Store na Choo cha Familia ndani.
Ipo ndani ya Fensi.
Parking ipo na Mtaa ni tulivu.
WAHI USICHELEWE.
____________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
__________________MpKr















