Nyumba ya vyumba 6 inauzwa Bunju Beach, Dar Es Salaam
Maelezo
JUMBA LA KUMALIZIA UJENZI,TZS.800 MILIONI, BUNJU BEACH.
Ni Ghorofa ya SAKAFU 2.
Lina jumla ya vyumba vya kulala 6
(Kila chumba na Choo chake ndani.
Pia ina Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia cha ndani.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM.2,042.
Umiliki ni HATI (Title Deed) ya Wizara
WAHI NI JUMBA HADHI YA JUU.
__________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
_________________zw















