Tafuta

Nyumba ya vyumba 6 inauzwa Kawe Tanganyika Pecus, Dar Es Salaam (1300 sqm)

video thumbnail
Sh. 600,000,000

Huduma na Sifa

Hati
Investment Property
Ready Tenants

Maelezo

๐Ÿก PRIME INVESTMENT OPPORTUNITY โ€“ KAWE (TANGANYIKA PECUS), DAR ES SALAAM.

Unatafuta eneo la uwekezaji lenye income tayari? Hii ndiyo deal yenyewe!

๐Ÿ“ Location: Kawe Tanganyika Pecus, karibu na Kwa Mwamposa.

โœ… Eneo lenye ukubwa wa SQM 1300
โœ… Lina nyumba 6 tayari zenye wapangaji wote
โœ… Nyumba kubwa 3 na ndogo 3
โœ… Income ya kodi inaingia tayari
โœ… Umiliki ni Leseni Halali ya Makazi inayotambulika kisheria
โœ… Sio la urithi, halina mgogoro wala kesi yoyote
โœ… Muuzaji ni mmiliki halali na anauza kwa sababu ameshindwa kuliendeleza

๐Ÿ’ก This property is perfect kwa investor anayehitaji kuendelea na rental business, kujenga apartment, guest house, au nyumba ya kisasa ya kuishi huku akibakiza nafasi kubwa ya maendeleo mengine.

๐ŸŒŸ Kawe ni eneo la hadhi kubwa, salama na tulivu, karibu na barabara kuu pamoja na huduma muhimu zote. Pia ni dakika chache tu kuelekea city center.

๐Ÿ’ฐ Bei: Milioni 600 tu (mazungumzo yapo kwa mnunuzi serious).

๐Ÿ“ž Wahi kuwasiliana nasi kwa maelezo zaidi na appointment ya kuliona eneo.

โ˜Ž๏ธ 0761061599call/watsap

#KaweProperty #DarRealEstate #InvestmentOpportunity #KaweTanganika #PropertyForSale DarEsSalaamHomes RealEstateTanzania

Matangazo mengine Kawe, Dar Es Salaam