Nyumba ya vyumba 6 inauzwa Kigamboni Kisota Ushuani, Dar Es Salaam (600 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
6
Ukubwa
600 SQM
Barabara ya Karibu
1km
Maelezo
π‘ NYUMBA INAUZWA KIGAMBONI KISOTA USHUANI π‘
Nyumba nzuri ya kisasa yenye mfumo wa apartmenti mbili inauzwa kwa bei nafuu sana.
πΉ Apartment ya chini:
β
Vyumba 3
β
Sebule
β
Dining
β
Jiko
πΉ Apartment ya juu:
β
Vyumba 3
β
Sebule
β
Dining
β
Jiko
π Ukubwa wa eneo:
SQM 600+
π Hati:
β
Hati kamili ya Wizara
β¨ Sifa za nyumba:
βοΈ Nyumba ya kisasa (full finishing)
βοΈ Kisima cha maji
βοΈ Fence ya ulinzi
βοΈ Kamera za usalama
πΌ Inafaa sana kwa uwekezaji:
βοΈ Ukipangisha kawaida unaweza kupata zaidi ya Milioni 1 kwa mwezi kwa kila apartment
βοΈ Pia unaweza kuendesha Airbnb ambapo unaweza kuingiza hadi Dollar 150 kwa siku kwa kila apartment
π Location:
π Kigamboni β Kisota Ushuani
βοΈ Kilometa 1 kutoka barabara ya lami
βοΈ Kilometa 5 kutoka Ferry
βοΈ Kilometa 2.5 kutoka Daraja la Nyerere
π° Bei:
Milioni 400
(Maongezi yapo)
π0769554221
#trendingvideo #istagram #tanzaniaπΉπΏ #realestateforsale #trendingnow















