Nyumba ya vyumba 6 inauzwa Kisota, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
GHOROFA YA KISASA INAUZWA – KIGAMBONI KISOTA OCEAN
Fursa ya kipekee ya kumiliki ghorofa ya kisasa katika eneo la kifahari karibu na bahari. Inafaa kwa makazi, biashara, Airbnb, hoteli au House Party.
✨ Sifa za Ghorofa:
🛏️ Vyumba 6 vya kulala, vyote Master
🛋️ Sebule kubwa
🍽️ Dining
🍳 Jiko la kisasa
📐 Ukubwa wa Eneo: SQM 1,600
📜 Imepimwa na ina Hati ya Wizara
🌿 Huduma na Miundombinu:
✅ Garden nzuri
✅ Fence ya kuzunguka
✅ Maegesho ya kutosha
✅ Fremu za biashara zilizopo nje ya ghorofa
✅ Mazingira tulivu na salama
💼 Matumizi Yanayofaa:
✔️ Makazi ya kifahari
✔️ Uwekezaji wa Airbnb
✔️ Hoteli au Guest House
✔️ House Party Venue
✔️ Biashara mbalimbali
💰 Bei: TZS Milioni 950
🤝 Mazungumzo kidogo yapo.
📞 0769554221
📍Service Charge 30,000
#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio
📍DalaliMbavuKigamboni 📍GhorofaInauzwa
📍Kisotaushuani 📍AirbnbInvestment HotelInvestment RealEstateTanzania PropertyForSale















