Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Boko Burumawe, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA MPYA YA KISASA,VYUMBA 4,TZS.350 MILIONI,BOKO BURUMAWE.
Inaiangalia Barabra mpya ya Lami ya Boko.
Kiwanja ni kikubwa.
Umiliki ni HATI (Title Deed) ya Wizara.
Vyumba 4 vya kulala.
Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
Parking ni kubwa,
Nyumba ina Paving na pia kuna Garden.
__________________
ANGALIZO:
Malipk ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
__________________mpg















