Tafuta

Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Fani City, Kigamboni, Dar Es Salaam (1200 sqm)

video thumbnail
Sh. 140,000,000

Maelezo

🏑 NYUMBA MPYA INAUZWA – KIGAMBONI FANI CITY

Unatafuta nyumba ya kisasa katika eneo tulivu na lenye miundombinu mizuri? Hii ni fursa yako!

✨ Sifa za Nyumba:
βœ… Vyumba 4 vya kulala (vyote Master)
βœ… Sebule kubwa
βœ… Jiko la kisasa
βœ… Nyumba mpya kabisa
βœ… Imejengwa kwenye kiwanja chenye ukubwa wa SQM,1200
βœ… Hati ya Serikali ya Mtaa

πŸ“ Mahali: Kigamboni – Fani City

* Kilomita 1 kutoka barabara ya lami
* Kilomita 12 kutoka Ferry
* Kilomita 11 kutoka Daraja la Nyerere
* Kilomita 9 kutoka Mbagala

🌿 Mazingira ni mazuri na tulivu, barabara zinapitika mwaka mzima, na usalama umeimarika.

πŸ’° Bei: TZS Milioni 140 (Mazungumzo yapo)

πŸ“ž0769554221
πŸ“Service Charge 30,000
#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingnow

Matangazo mengine Kigamboni, Dar Es Salaam

Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kigamboni Dege, Dar Es Salaam (1500 sqm)

Sh. 150,000,000

For Sale4 beds2 baths1,500 sqmhouse