Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Fani City, Kigamboni, Dar Es Salaam (1200 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
4
Ukubwa
1200 SQM
Barabara ya Karibu
1km
Huduma na Sifa
Maelezo
π‘ NYUMBA MPYA INAUZWA β KIGAMBONI FANI CITY
Unatafuta nyumba ya kisasa katika eneo tulivu na lenye miundombinu mizuri? Hii ni fursa yako!
β¨ Sifa za Nyumba:
β
Vyumba 4 vya kulala (vyote Master)
β
Sebule kubwa
β
Jiko la kisasa
β
Nyumba mpya kabisa
β
Imejengwa kwenye kiwanja chenye ukubwa wa SQM,1200
β
Hati ya Serikali ya Mtaa
π Mahali: Kigamboni β Fani City
* Kilomita 1 kutoka barabara ya lami
* Kilomita 12 kutoka Ferry
* Kilomita 11 kutoka Daraja la Nyerere
* Kilomita 9 kutoka Mbagala
πΏ Mazingira ni mazuri na tulivu, barabara zinapitika mwaka mzima, na usalama umeimarika.
π° Bei: TZS Milioni 140 (Mazungumzo yapo)
π0769554221
πService Charge 30,000
#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingnow















