Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Goba Njia Nne, Dar Es Salaam









Huduma na Sifa
Maelezo
Nyumba bado ipo hii wapendwa..
Ipo 📍Dar es salaam, Ubungo, GOBA NJIA NNE (Mageti). Ipo karibu na lami, inafikika vizuri sana
Nyumba ina vyumba VINNE, Vyote Masta
Ina Sebule kubwa mno, Dining na Jiko kubwa la kisasa
Eneo SQM 500
BEI: TZS 350 Million (Maongezi yapo)
Full Documents: HATI ✅️
Piga simu: 0767 891 406 // 0785 682 800
#luganoorealestateagency















